• mazingira
  • michezo
  • ujasiriamali
  • dira ya dunia
  • siasa
  • waasi

ict master

  • program zote
  • tekinologia
  • mazingira
  • elim
  • boko haram
  • habari
    • alshababu
    • kimataifa
    • kitaifa
    • burundi
    • rwanda
    • alshababu
  • video

Tuesday, April 12, 2016

Tanzania: Simba yachinjwa kombe la Shirikisho

By Suxiya Chinese language center on 2:14:00 PM
Image caption Kikosi cha Simba kimeondolewa Kombe la Shirikisho
Hatua ya Robo fainali ya mwisho ya michuano ya Kombe la Shirikisho Tanzania (Federation Cup) imepigwa kati ya Coastal Union dhidi ya Simba katika Uwanja wa Taifa Jijini Dar es Salaam na huku coastal Union
ikifanikiwa kuitoa Simba katika michuano hiyo kwa ushindi wa Bao 2-1.
Magoli ya coastal yamefungwa na Mchezaji wa Cameroon Youssouf Sabo,huku goli la Simba likifungwa na Mganda Hamisi Kiiza.
Coastal sasa inajumuika na Yanga, Azam FC na Mwadui kwenye Droo ya kupanga Mechi za hatua ya Nusu Fainali itakayofanyika Jumanne .
Mshindi wa Michuano hili ataiwakilisha Tanzania mwaka 2017 katika Mashindano ya Kombe la Shirikisho Afrika (CAF)
Newer Post Older Post

0 comments:

Post a Comment

Subscribe to: Post Comments (Atom)

Popular Posts

Follow Us on Facebook

Blog Archive

  • ►  2017 (3)
    • ►  May (3)
  • ▼  2016 (86)
    • ►  June (2)
    • ►  May (26)
    • ▼  April (50)
      • DIRA YA DUNIA ALHAMISI 28.04.2016
      • dira dunia
      • yemi amegusa wangapi ?
      • je ya linex imekugusa?
      • Wenger:Arsenal ilipoteza taji la ligi nyumbani
      • Trump achekwa kwa alivyotamka Tanzania
      • Magufuli: Polisi sharti wajirekebishe
      • Mazungumzo ya amani ya Burundi yaahirishwa
      • Raia wa Burundi waendelea kulitoroka taifa lao
      • Benki ya Chase yafunguliwa tena Kenya
      • Dola milioni 800 za IS zaharibiwa na Marekani
      • Rwanda yawaondosha raia wake Zambia
      • nyangumi aonekana pembezoni mwa fukwe za coco bichi
      • Jino kubwa la nyangumi lapatikana Australia
      • Al-Shabab aliyejiunga na IS anaswa Somalia
      • Salamu TMK - Mfuko Official Video
      • Atolewa kwenye ndege kwa kuongea Kiarabu
      • Raia waliolazimika kutoka nje ya mahakama baada ...
      • Machar afuta mpango wa kurejea Juba
      • Filamu nyingine ya Avatar kuongezwa
      • Boko Haram wavamia kambi ya jeshi Nigeria
      • Korea Kaskazini kulipua bomu la nyuklia
      • UN: Burundi inawatesa wapinzani wake
      • Mkuu wa shirika la UN amshutumu Trump
      • Tetemeko la pili laikumba Kumamoto, Japan
      • Sudan Kusini yajiunga na Afrika Mashariki
      • ''Karibu niwe mlipuaji wa kujitoa mhanga''
      • Video ya Boko Haram yaonesha wasichana wa Chibok
      • ...
      • Video; ERICK OMMONDI
      • UMUHIMU WA KUTUNZA KUMBUKUMBU ZA BIASHAURA
      • utunzaji wa kumbukumbu
      • Ndege za Marekani zaua al shabab Somalia
      • Mulipuko wa homa ya manjano DRC
      • Roboti kuchukua kazi za raia Australia
      • aina za robot
      • FIFA yatishia kuipiga marufuku Nigeria
      • Tanzania: Simba yachinjwa kombe la Shirikisho
      • UEFA: Man City kuikabili PSG
      • Watu 5 wauawa Ruyigi Burundi
      • uundaji wa roboti
      • Papa Francis kutoa tamko muhimu kuhusu ndoa
      • Tanzania na Rwanda zafungua ukurasa mpya
      • Mamba mkubwa auawa Florida
      • Ted Cruz amshinda Trump mchujo Wisconsin
      • US na China kushirikiana dhidi ya Korea Kaskazini
      • The History of Computers
      • history of sd card
      • Secure Digital
      • contact us facebook phone no
    • ►  March (8)
  • ►  2015 (22)
    • ►  December (8)
    • ►  November (14)

Followers

 
  • Followers

  • Total Pageviews

    Sparkline
  • Subscribe

  • Labels

    • alishababu
    • bokoharam
    • burudani
    • burundi
    • dira ya dunia
    • elimu
    • HABARI
    • islamik state
    • kimataifa
    • kitaifa
    • MATUKIO
    • mazingira
    • MICHEZO
    • program zote
    • roboti
    • ruanda
    • SIASA
    • TEKNOLOJIA
    • ujasiriamali
    • VIDEO
    • waasi

Copyright © 2012 News Magazine Theme. Designed by Templateism