Friday, April 8, 2016

Papa Francis kutoa tamko muhimu kuhusu ndoa

PapaImage copyrightAFP
Image captionPapa Francis amekuwa akitofautiana na wahafidhina kanisa Katoliki
Kiongozi wa kanisa Katoliki duniani Papa Francis leo anatarajiwa kutangaza wazi msimamo wake kuhusu ndoa, njia za kupanga uzazi na malezi ya watoto.
PapaImage copyrightEPA
Image captionPapa Francis alituma hojaji kwa watu nchi mbalimbali duniani kuomba maoni
PapaImage copyrightAP
Image captionPapa Francis ameifanyia kazi ripoti hiyo kwa miaka mitatu

0 comments: