mazingira
michezo
ujasiriamali
dira ya dunia
siasa
waasi
ict master
program zote
tekinologia
mazingira
elim
boko haram
habari
alshababu
kimataifa
kitaifa
burundi
rwanda
alshababu
video
Friday, April 29, 2016
Magufuli: Polisi sharti wajirekebishe
By
Suxiya Chinese language center
on 12:42:00 PM
Rais Magufuli amesema baadhi ya mambo yanachangia kuwepo kwa hali ngumu ya utendaji kazi Rais wa wa Tanzania Dkt John Magufuli amelitaka jeshi la polisi nchini pamoja na ofisi ya mwendesha mashitaka kujirekebisha katika utenda kazi na kujiepusha na kashfa.Amesema taarifa zinaonesha jeshi la polisi limekuwa likihusishwa na matumizi mabaya ya fedha hali inayoongeza ukubwa wa matatizo yanayokwamisha utendaji wake wa kazi.Akiongea alipokuwa akifungua kikao cha kazi cha makamanda wa polisi wa mikoa, mawakili wafawidhi wa serikali wa mikoa na wakuu wa upelelezi wa Mikoa na Vikosi, Dodoma ametoa mfano wa taarifa za matumizi mabaya ya fedha zinazotolewa kwa ajili ya kununulia vifaa na sare za askari.Aidha, amezungumzia mikataba yenye mashaka inayotiwa saini kati ya polisi na wawekezaji akisema baadhi ya mambo yanayoongeza hali ngumu ya utendaji kazi kwa jeshi hilo.“Nimesema lazima nizungumze kwa uwazi, nisiposema kwa uwazi nitajisikia vibaya nikimaliza mkutano huu, nataka muelewe na muelewe ukweli direction (njia) ninayoitaka mimi.”Dkt. Magufuli pia amelitaka jeshi la polisi kujiepusha na kashfa ambazo zimekuwa zikisemwa dhidi yake, ikiwemo maafisa wa polisi kujihusisha na biashara ya dawa za kulevya na kuazimisha silaha kwa wahalifu wa ujambazi.Kuhusu Ofisi ya Mwendesha Mashitaka, amesema amekuwa akisikitishwa sana na vitendo vya serikali kushindwa katika kesi nyingi mahakamani licha ya kuwa na wanasheria mahiri."Niwaombe mawakili na polisi wanaohusika na upelelezi mtangulize maslahi ya nchi mbele, kwa sababu kumekuwa na usemi kwa baadhi ya wapelelezi na mawakili wachache, nasema wachache, panapokuwa na kesi inayohusiana na pesa pesa, wana misemo yao wanasema dili limepatikana,” amesema.“Na saa nyingine kesi inapopelekwa mahakamani wana-collude (wanakula njama) mawakili wa serikali na mawakili wanaomtetea mhalifu, na wanapo-collude (wanapokula njama pamoja) siku zote serikali inashindwa.”
Newer Post
Older Post
0 comments:
Post a Comment
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Popular Posts
uundaji wa roboti
Roboti ni mashine inayotekeleza shughuli peke yake bila kuendeshwa na binadamu . Kuna tofauti kati ya nchi na nchi kuhusu kiwango na ugumu...
Video ya Boko Haram yaonesha wasichana wa Chibok
Wanachama wa vuguvugu la Bring Back Our Girls waliandamana mjini L...
Tanzania: Simba yachinjwa kombe la Shirikisho
...
Well come in talanta group olasity Kati arusha Tanzania we produce good instruments for water management like ports. Tank ect
tok kwa maelezo piga sm 0759894855
Watano kuwania tuzo ya mwanasoka bora Afrika 2015
Wagombea watano wa tuzo ya BBC kwa mwanasoka bora wa mwaka 2015 wametangazwa kwenye hafla maalum iliyoandaliwa mjini Johannesburg, Afri...
The best hidden features in Windows 10's major update
Share on Facebook (2,710) Tweet Share Pin Microso...
UMUHIMU WA KUTUNZA KUMBUKUMBU ZA BIASHAURA
Tunzaji wa kumbukumbu za biashara yako ni muhimu sana kwani mali bila daftari basi hupotea bila habari ...
aina za robot
Leo robots ni kutumika katika kila uga: sekta ya viwanda, jeshi, nafasi ya utafutaji, usafirishaji na matumizi ya tiba. Ni kwa saba...
FIFA yatishia kuipiga marufuku Nigeria
Shirikisho la kandanda duniani limetishia kuipiga marufuku Nigeria kutoka kwenye mashindano yeyote ya kimataifa iwapo haitamrejesha afi...
Jino kubwa la nyangumi lapatikana Australia
Jino hilo lilipatikana mwezi Februari Jino kubwa la nyangumi limepatikana ufukweni Australia, na kuwa thibitisho la ...
Follow Us on Facebook
Blog Archive
►
2017
(3)
►
May
(3)
▼
2016
(86)
►
June
(2)
►
May
(26)
▼
April
(50)
DIRA YA DUNIA ALHAMISI 28.04.2016
dira dunia
yemi amegusa wangapi ?
je ya linex imekugusa?
Wenger:Arsenal ilipoteza taji la ligi nyumbani
Trump achekwa kwa alivyotamka Tanzania
Magufuli: Polisi sharti wajirekebishe
Mazungumzo ya amani ya Burundi yaahirishwa
Raia wa Burundi waendelea kulitoroka taifa lao
Benki ya Chase yafunguliwa tena Kenya
Dola milioni 800 za IS zaharibiwa na Marekani
Rwanda yawaondosha raia wake Zambia
nyangumi aonekana pembezoni mwa fukwe za coco bichi
Jino kubwa la nyangumi lapatikana Australia
Al-Shabab aliyejiunga na IS anaswa Somalia
Salamu TMK - Mfuko Official Video
Atolewa kwenye ndege kwa kuongea Kiarabu
Raia waliolazimika kutoka nje ya mahakama baada ...
Machar afuta mpango wa kurejea Juba
Filamu nyingine ya Avatar kuongezwa
Boko Haram wavamia kambi ya jeshi Nigeria
Korea Kaskazini kulipua bomu la nyuklia
UN: Burundi inawatesa wapinzani wake
Mkuu wa shirika la UN amshutumu Trump
Tetemeko la pili laikumba Kumamoto, Japan
Sudan Kusini yajiunga na Afrika Mashariki
''Karibu niwe mlipuaji wa kujitoa mhanga''
Video ya Boko Haram yaonesha wasichana wa Chibok
...
Video; ERICK OMMONDI
UMUHIMU WA KUTUNZA KUMBUKUMBU ZA BIASHAURA
utunzaji wa kumbukumbu
Ndege za Marekani zaua al shabab Somalia
Mulipuko wa homa ya manjano DRC
Roboti kuchukua kazi za raia Australia
aina za robot
FIFA yatishia kuipiga marufuku Nigeria
Tanzania: Simba yachinjwa kombe la Shirikisho
UEFA: Man City kuikabili PSG
Watu 5 wauawa Ruyigi Burundi
uundaji wa roboti
Papa Francis kutoa tamko muhimu kuhusu ndoa
Tanzania na Rwanda zafungua ukurasa mpya
Mamba mkubwa auawa Florida
Ted Cruz amshinda Trump mchujo Wisconsin
US na China kushirikiana dhidi ya Korea Kaskazini
The History of Computers
history of sd card
Secure Digital
contact us facebook phone no
►
March
(8)
►
2015
(22)
►
December
(8)
►
November
(14)
Followers
Copyright © 2012 News Magazine Theme. Designed by
Templateism
0 comments:
Post a Comment