• mazingira
  • michezo
  • ujasiriamali
  • dira ya dunia
  • siasa
  • waasi

ict master

  • program zote
  • tekinologia
  • mazingira
  • elim
  • boko haram
  • habari
    • alshababu
    • kimataifa
    • kitaifa
    • burundi
    • rwanda
    • alshababu
  • video

Sunday, May 29, 2016

Wahamiaji 700 wafa maji baharini kwa muda wa siku 3

By Suxiya Chinese language center on 1:18:00 PM

 

Umoja wa mataifa unasema kuwa huenda wahamiaji wapatao 700 wanahofiwa kufariki katika kipindi cha siku tatau zilizopita katika bahari ya Mediterranean.
Msemaji wa Shirika la umoja wa mataifa linalowahudumia wakimbizi, Carlotta Sami, amesema kuwa mashua kadhaa yalizama katika maeneo ya kusini mwa Italia Jumatano usiku ikiwa na wahamiaji hao.
Wahamiaji waliokololewa juma lililopita kutoka katika boti moja kwenye bahari ya Mediterranea, wamewaambia wafanyikazi wa makundi ya uokoaji kuwa, waliona chombo kimoja cha baharini kilichojaa wakimbizi kikizama.
 
 
 
 
Juma lililopita pekee, zaidi ya watu 13,000 wameokolewa katika bahari ya Mediterranean.
Shirika moja la uokoaji la Save the Children, limeiambia BBC kuwa manusura hao walisema kuwa walingoa nanga katika msafara wa maboti matatu Jumatano usiku kutokea Libya.
Maafisa wa Polisi wa Italia wanasema waliwahoji wahamiaji hao waliofika mjini Sicily hapo Jana Jumamosi.
Juma lililopita pekee, zaidi ya watu 13,000 wameokolewa katika bahari ya Mediterranean.
Newer Post Older Post

0 comments:

Post a Comment

Subscribe to: Post Comments (Atom)

Popular Posts

  • uundaji wa roboti
    Roboti ni mashine inayotekeleza shughuli peke yake bila kuendeshwa na binadamu . Kuna tofauti kati ya nchi na nchi kuhusu kiwango na ugumu...
  • Video ya Boko Haram yaonesha wasichana wa Chibok
    Wanachama wa vuguvugu la Bring Back Our Girls waliandamana mjini L...
  • Tanzania: Simba yachinjwa kombe la Shirikisho
    ...
  • Well come in talanta group olasity Kati arusha Tanzania we produce good instruments for water management like ports. Tank ect
                                                         tok kwa maelezo piga sm 0759894855
  • Watano kuwania tuzo ya mwanasoka bora Afrika 2015
    Wagombea watano wa tuzo ya BBC kwa mwanasoka bora wa mwaka 2015 wametangazwa kwenye hafla maalum iliyoandaliwa mjini Johannesburg, Afri...
  • The best hidden features in Windows 10's major update
    Share on Facebook (2,710) Tweet Share Pin Microso...
  • UMUHIMU WA KUTUNZA KUMBUKUMBU ZA BIASHAURA
        Tunzaji wa kumbukumbu za biashara yako ni muhimu sana kwani mali bila daftari basi hupotea bila habari ...
  • aina za robot
    Leo robots ni kutumika katika kila uga: sekta ya viwanda, jeshi, nafasi ya utafutaji, usafirishaji na matumizi ya tiba. Ni kwa saba...
  • FIFA yatishia kuipiga marufuku Nigeria
    Shirikisho la kandanda duniani limetishia kuipiga marufuku Nigeria kutoka kwenye mashindano yeyote ya kimataifa iwapo haitamrejesha afi...
  • Jino kubwa la nyangumi lapatikana Australia
    Jino hilo lilipatikana mwezi Februari Jino kubwa la nyangumi limepatikana ufukweni Australia, na kuwa thibitisho la ...

Follow Us on Facebook

Blog Archive

  • ►  2017 (3)
    • ►  May (3)
  • ▼  2016 (86)
    • ►  June (2)
    • ▼  May (26)
      • Wahamiaji 700 wafa maji baharini kwa muda wa siku 3
      • "Worlds Brightest" Military Grade Flashlight Now A...
      • The important functions of a supervisor are:
      • Afungwa kwa kutunga shairi kwenye uume wake Myanmar
      • Helikopta na malori ya Urusi yateketea Syria
      • Uganda yailalamikia DRC kwa vifo vya polisi wake
      • Boti iliyopata ajali Ziwa Nyasa yatafutwa
      • Utata wazuka kuhusu msichana wa Chibok
      • Msichana wa Chibok kukutana na Rais Buhari
      • Trump: Ninaweza kuzungumza na Kim Jong-un
      • Kagame akana kuwasaidia waasi Burundi
      • Yajue maudhi kumi (10) YA kompyuta
      • Mwanamke wa Senegal ateuliwa katibu mkuu Fifa
      • Mwanamume 'adandia' helikopta Bungoma Kenya
      • UN: Rwanda bado inasaidia waasi Burundi
      • Korea Kaskazini 'inaihami DR Congo'
      • Roma Mkatoliki - Mtoto wa kigogo 2016
      • Malkia wa Pembe' afikishwa kortini Tanzania
      • Washtakiwa 21 wafungwa jela maisha Burundi
      • Jumba la ghorofa laporomoka Mombasa
      • Magufuli aahidi sukari ya bei ya chini
      • Majibu ya Mr Blue kwa wanaodhani atapotea baada ya...
      • Naibu kamanda wa kundi la mauaji Rwanda akamatwa
      • DIRA YA DUNIA ALHAMISI 05.05.2016
      • DIRA YA DUNIA JUMATATU 02.05.2016
    • ►  April (50)
    • ►  March (8)
  • ►  2015 (22)
    • ►  December (8)
    • ►  November (14)

Followers

 
  • Followers

  • Total Pageviews

    Sparkline
  • Subscribe

  • Labels

    • alishababu
    • bokoharam
    • burudani
    • burundi
    • dira ya dunia
    • elimu
    • HABARI
    • islamik state
    • kimataifa
    • kitaifa
    • MATUKIO
    • mazingira
    • MICHEZO
    • program zote
    • roboti
    • ruanda
    • SIASA
    • TEKNOLOJIA
    • ujasiriamali
    • VIDEO
    • waasi

Copyright © 2012 News Magazine Theme. Designed by Templateism