• mazingira
  • michezo
  • ujasiriamali
  • dira ya dunia
  • siasa
  • waasi

ict master

  • program zote
  • tekinologia
  • mazingira
  • elim
  • boko haram
  • habari
    • alshababu
    • kimataifa
    • kitaifa
    • burundi
    • rwanda
    • alshababu
  • video

Saturday, May 14, 2016

Kagame akana kuwasaidia waasi Burundi

By Suxiya Chinese language center on 9:35:00 AM






 


Rais wa Rwanda Paul Kagame amekana madai yaliotolewa na Umoja wa Mataifa kwamba taifa lake linaendelea kuwasaidia waasi katika nchi jirani ya Burundi.
Bw Kagame amesema kuwa tatizo la Burundi linatoka ndani ya nchi hiyo, na sio nje.
Burundi imekabiliwa na mgogoro mbaya wa kisiasa tangu rais Pierre Nkurunziza kuamua kupigania muhula mwengine mwaka uliopita.
Ni mwaka mmoja kamili tangu rais Nkurunziza kuepekua jaribio la mapinduzi.
Rwanda ilikana madai kama hayo kuhusu kuwaunga mkono waasi katika ripoti ya awali ya Umoja wa Mataifa mnamo mwezi Februari.
Bw Kagame amekosoa wachapishaji wa ripoti hiyo ambayo inatarajiwa kuwasilishwa katika baraza la usalama la Umoja wa Mataifa baadaye,ikisema mda wake ungetumika vyema kuangazia matatizo yanayokumba mataifa badala ya kuyazidisha.
 


Pierre Nkurunziza na Banki Moon
Ripoti hiyo iliopatikana na chombo cha habari cha Reuters imeishtumu Rwanda kwa kutoa mafunzo pamoja na usaidizi wa kifedha kipindi chote cha mwaka 2016 kwa waasi wanaolenga kumuondoa madarakani rais Pierre Nkurunziza.







Newer Post Older Post

0 comments:

Post a Comment

Subscribe to: Post Comments (Atom)

Popular Posts

  • uundaji wa roboti
    Roboti ni mashine inayotekeleza shughuli peke yake bila kuendeshwa na binadamu . Kuna tofauti kati ya nchi na nchi kuhusu kiwango na ugumu...
  • Video ya Boko Haram yaonesha wasichana wa Chibok
    Wanachama wa vuguvugu la Bring Back Our Girls waliandamana mjini L...
  • Tanzania: Simba yachinjwa kombe la Shirikisho
    ...
  • Well come in talanta group olasity Kati arusha Tanzania we produce good instruments for water management like ports. Tank ect
                                                         tok kwa maelezo piga sm 0759894855
  • Watano kuwania tuzo ya mwanasoka bora Afrika 2015
    Wagombea watano wa tuzo ya BBC kwa mwanasoka bora wa mwaka 2015 wametangazwa kwenye hafla maalum iliyoandaliwa mjini Johannesburg, Afri...
  • The best hidden features in Windows 10's major update
    Share on Facebook (2,710) Tweet Share Pin Microso...
  • UMUHIMU WA KUTUNZA KUMBUKUMBU ZA BIASHAURA
        Tunzaji wa kumbukumbu za biashara yako ni muhimu sana kwani mali bila daftari basi hupotea bila habari ...
  • aina za robot
    Leo robots ni kutumika katika kila uga: sekta ya viwanda, jeshi, nafasi ya utafutaji, usafirishaji na matumizi ya tiba. Ni kwa saba...
  • FIFA yatishia kuipiga marufuku Nigeria
    Shirikisho la kandanda duniani limetishia kuipiga marufuku Nigeria kutoka kwenye mashindano yeyote ya kimataifa iwapo haitamrejesha afi...
  • Jino kubwa la nyangumi lapatikana Australia
    Jino hilo lilipatikana mwezi Februari Jino kubwa la nyangumi limepatikana ufukweni Australia, na kuwa thibitisho la ...

Follow Us on Facebook

Blog Archive

  • ►  2017 (3)
    • ►  May (3)
  • ▼  2016 (86)
    • ►  June (2)
    • ▼  May (26)
      • Wahamiaji 700 wafa maji baharini kwa muda wa siku 3
      • "Worlds Brightest" Military Grade Flashlight Now A...
      • The important functions of a supervisor are:
      • Afungwa kwa kutunga shairi kwenye uume wake Myanmar
      • Helikopta na malori ya Urusi yateketea Syria
      • Uganda yailalamikia DRC kwa vifo vya polisi wake
      • Boti iliyopata ajali Ziwa Nyasa yatafutwa
      • Utata wazuka kuhusu msichana wa Chibok
      • Msichana wa Chibok kukutana na Rais Buhari
      • Trump: Ninaweza kuzungumza na Kim Jong-un
      • Kagame akana kuwasaidia waasi Burundi
      • Yajue maudhi kumi (10) YA kompyuta
      • Mwanamke wa Senegal ateuliwa katibu mkuu Fifa
      • Mwanamume 'adandia' helikopta Bungoma Kenya
      • UN: Rwanda bado inasaidia waasi Burundi
      • Korea Kaskazini 'inaihami DR Congo'
      • Roma Mkatoliki - Mtoto wa kigogo 2016
      • Malkia wa Pembe' afikishwa kortini Tanzania
      • Washtakiwa 21 wafungwa jela maisha Burundi
      • Jumba la ghorofa laporomoka Mombasa
      • Magufuli aahidi sukari ya bei ya chini
      • Majibu ya Mr Blue kwa wanaodhani atapotea baada ya...
      • Naibu kamanda wa kundi la mauaji Rwanda akamatwa
      • DIRA YA DUNIA ALHAMISI 05.05.2016
      • DIRA YA DUNIA JUMATATU 02.05.2016
    • ►  April (50)
    • ►  March (8)
  • ►  2015 (22)
    • ►  December (8)
    • ►  November (14)

Followers

 
  • Followers

  • Total Pageviews

    Sparkline
  • Subscribe

  • Labels

    • alishababu
    • bokoharam
    • burudani
    • burundi
    • dira ya dunia
    • elimu
    • HABARI
    • islamik state
    • kimataifa
    • kitaifa
    • MATUKIO
    • mazingira
    • MICHEZO
    • program zote
    • roboti
    • ruanda
    • SIASA
    • TEKNOLOJIA
    • ujasiriamali
    • VIDEO
    • waasi

Copyright © 2012 News Magazine Theme. Designed by Templateism