Friday, May 13, 2016

UN: Rwanda bado inasaidia waasi Burundi

Rwanda
Add caption


Rwanda imekana madai kwamba inasaidia kuhujumu serikali Burundi

Ripoti ya siri iliyowasilishwa kwa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa inaituhumu Rwanda kwa kuendelea kuwasaidia waasi wanaotaka kumtoa madarakani Rais wa Burundi Pierre Nkurunziza.

Nkurunziza
Image captionBw Nkurunziza alichaguliwa tena mwezi Julai

0 comments: