mazingira
michezo
ujasiriamali
dira ya dunia
siasa
waasi
ict master
program zote
tekinologia
mazingira
elim
boko haram
habari
alshababu
kimataifa
kitaifa
burundi
rwanda
alshababu
video
Friday, May 13, 2016
UN: Rwanda bado inasaidia waasi Burundi
By
Suxiya Chinese language center
on 3:46:00 AM
Add caption
Rwanda imekana madai kwamba inasaidia kuhujumu serikali Burundi
Ripoti ya siri iliyowasilishwa kwa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa inaituhumu Rwanda kwa kuendelea kuwasaidia waasi wanaotaka kumtoa madarakani Rais wa Burundi Pierre Nkurunziza.
Kwa mujibu wa shirika la habari la Reuters, Rwanda imekuwa ikitoa mafunzo, ufadhili na usaidizi wa kimipango kwa waasi hao.
Baadhi ya maafisa wan chi za Magharibi wamekuwa wakidhani hilo lilikoma baada ya kutolewa kwa ripoti nyingine mwaka jana, lakini ripoti hiyo inasema hali ni kinyume.
Kamati ya Baraza la Usalama la UN inayoshughulika na vikwazo itajadili ripoti hiyo baadaye leo Ijumaa.
Rwanda kuwahamisha wakimbizi kutoka Burundi
Rwanda lawamani juu ya Burundi
Rwanda yapuuza madai ya ujasusi ya Burundi
Rwanda amekana madai hayo kwamba inaingilia katika masuala ya ndani nchini Burundi.
Rais Nkurunziza alichaguliwa kwa muhula wa tatu mwezi Julai mwaka jana.
Image caption
Bw Nkurunziza alichaguliwa tena mwezi Julai
Machafuko yalizuka nchini humo baada yake kutangaza angewania kwa muhula mwingine mwezi Aprili mwaka jana.
Jaribio la mapinduzi lilitekelezwa mwezi Mei lakini halikufanikiwa.https://www.blogger.com/blogger.g?blogID=6465176323126612680#editor/target=post;postID=5119749780282419067
Newer Post
Older Post
0 comments:
Post a Comment
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Popular Posts
uundaji wa roboti
Roboti ni mashine inayotekeleza shughuli peke yake bila kuendeshwa na binadamu . Kuna tofauti kati ya nchi na nchi kuhusu kiwango na ugumu...
Video ya Boko Haram yaonesha wasichana wa Chibok
Wanachama wa vuguvugu la Bring Back Our Girls waliandamana mjini L...
Tanzania: Simba yachinjwa kombe la Shirikisho
...
Well come in talanta group olasity Kati arusha Tanzania we produce good instruments for water management like ports. Tank ect
tok kwa maelezo piga sm 0759894855
Watano kuwania tuzo ya mwanasoka bora Afrika 2015
Wagombea watano wa tuzo ya BBC kwa mwanasoka bora wa mwaka 2015 wametangazwa kwenye hafla maalum iliyoandaliwa mjini Johannesburg, Afri...
The best hidden features in Windows 10's major update
Share on Facebook (2,710) Tweet Share Pin Microso...
UMUHIMU WA KUTUNZA KUMBUKUMBU ZA BIASHAURA
Tunzaji wa kumbukumbu za biashara yako ni muhimu sana kwani mali bila daftari basi hupotea bila habari ...
aina za robot
Leo robots ni kutumika katika kila uga: sekta ya viwanda, jeshi, nafasi ya utafutaji, usafirishaji na matumizi ya tiba. Ni kwa saba...
FIFA yatishia kuipiga marufuku Nigeria
Shirikisho la kandanda duniani limetishia kuipiga marufuku Nigeria kutoka kwenye mashindano yeyote ya kimataifa iwapo haitamrejesha afi...
Jino kubwa la nyangumi lapatikana Australia
Jino hilo lilipatikana mwezi Februari Jino kubwa la nyangumi limepatikana ufukweni Australia, na kuwa thibitisho la ...
Follow Us on Facebook
Blog Archive
►
2017
(3)
►
May
(3)
▼
2016
(86)
►
June
(2)
▼
May
(26)
Wahamiaji 700 wafa maji baharini kwa muda wa siku 3
"Worlds Brightest" Military Grade Flashlight Now A...
The important functions of a supervisor are:
Afungwa kwa kutunga shairi kwenye uume wake Myanmar
Helikopta na malori ya Urusi yateketea Syria
Uganda yailalamikia DRC kwa vifo vya polisi wake
Boti iliyopata ajali Ziwa Nyasa yatafutwa
Utata wazuka kuhusu msichana wa Chibok
Msichana wa Chibok kukutana na Rais Buhari
Trump: Ninaweza kuzungumza na Kim Jong-un
Kagame akana kuwasaidia waasi Burundi
Yajue maudhi kumi (10) YA kompyuta
Mwanamke wa Senegal ateuliwa katibu mkuu Fifa
Mwanamume 'adandia' helikopta Bungoma Kenya
UN: Rwanda bado inasaidia waasi Burundi
Korea Kaskazini 'inaihami DR Congo'
Roma Mkatoliki - Mtoto wa kigogo 2016
Malkia wa Pembe' afikishwa kortini Tanzania
Washtakiwa 21 wafungwa jela maisha Burundi
Jumba la ghorofa laporomoka Mombasa
Magufuli aahidi sukari ya bei ya chini
Majibu ya Mr Blue kwa wanaodhani atapotea baada ya...
Naibu kamanda wa kundi la mauaji Rwanda akamatwa
DIRA YA DUNIA ALHAMISI 05.05.2016
DIRA YA DUNIA JUMATATU 02.05.2016
►
April
(50)
►
March
(8)
►
2015
(22)
►
December
(8)
►
November
(14)
Followers
Copyright © 2012 News Magazine Theme. Designed by
Templateism
0 comments:
Post a Comment