Sunday, May 29, 2016

Wahamiaji 700 wafa maji baharini kwa muda wa siku 3

  Umoja wa mataifa unasema kuwa huenda wahamiaji wapatao 700 wanahofiwa kufariki katika kipindi cha siku tatau zilizopita katika bahari ya Mediterranean. Msemaji wa Shirika la umoja wa...

Saturday, May 28, 2016

"Worlds Brightest" Military Grade Flashlight Now Available To Public

Sponsored by G700 Tactical Flashlight It seems like everyday you turn on the news the world's about to end. Lately, American's have had enough, and are searching for...

The important functions of a supervisor are:

The important functions of a supervisor are: (1) Facilitates Control: Under supervision, the supervisor keeps a close eye on his subordinates. Wherever he finds any flaws in the...

Tuesday, May 24, 2016

Afungwa kwa kutunga shairi kwenye uume wake Myanmar

By on 12:10:00 PM
Rais wa zamani wa Myanmar Thein Sein    Mwaandishi mmoja nchini Myanmar amehukumiwa kifungo cha miezi sita jela, baada ya kutunga shairi kwa kuchora sura ya Rais wa...

Helikopta na malori ya Urusi yateketea Syria

By on 11:55:00 AM
 Helikopta 4 na malori 20 ya Urusi yateketea nchini Syria Picha za satellite zilitolewa kwa BBC zinaonyesha kuwa ndege nne za Urusi aina ya helkopta na malori 20...

Uganda yailalamikia DRC kwa vifo vya polisi wake

By on 11:47:00 AM
 Afisa mkuu wa Polisi nchini Uganda Edward Kayihura Serikali ya Uganda imewasilisha ombi rasmi kwa serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo baada ya maafisa wanne wa Uganda...

Boti iliyopata ajali Ziwa Nyasa yatafutwa

By on 11:44:00 AM
Boti iliyofanya safari kutoka Mbamba Bay inahofiwa kupigwa dhoruba Takriban watu 12 hawajulikani walipo hadi sasa, wakihofiwa kufa maji baada ya boti iliyokuwa ikifanya safari kutoka Mbamba Bay...

Wednesday, May 18, 2016

Utata wazuka kuhusu msichana wa Chibok

Kuna utata kuhusu ni nani alimuokoa na jina la msichana ni lipi.   Kumezuka utata kuhusu msichana wa Chibok ambaye aliokolewa nchini Nigeria. Kwanza jeshi linasema kuwa ndilo...

Msichana wa Chibok kukutana na Rais Buhari

Dakika 59 zilizopita Mshirikishe mwenzako        Msemaji wa Serikali ya Nigeria amesema msichana kutoka Chibok, aliyeokolewa hivi karibuni kutoka mikononi mwa Wanamgambo wa Boko Haram, atakutana...

Trump: Ninaweza kuzungumza na Kim Jong-un

Marekani imekuwa ikilitenga taifa la Korea Kaskazini   Mgombea urais wa chama cha Republican nchini Marekani Donald Trump amesema yuko tayari kufanya mazungumzo na kiongozi wa Korea Kaskazini...

Saturday, May 14, 2016

Kagame akana kuwasaidia waasi Burundi

  Rais wa Rwanda Paul Kagame amekana madai yaliotolewa na Umoja wa Mataifa kwamba taifa lake linaendelea kuwasaidia waasi katika nchi jirani ya Burundi. Bw Kagame amesema kuwa...

Yajue maudhi kumi (10) YA kompyuta

1. Hazifanyi kazi hadi zichajiwe au ziunganishwe kwenye umeme.2. Zinaweza kuzima ghafla na kukupotezea kazi ambayo hukuisevu.3. Kompyuta humfanya mtu awe “addicted” kila muda ukiona kompyuta mikono inakuwasha.4. Kompyuta...

Friday, May 13, 2016

Mwanamke wa Senegal ateuliwa katibu mkuu Fifa

Add caption Ni mara ya kwanza mwanamke kuteuliwa katibu mkuu Fifa Kwa mara ya kwanza katika historia, mwanamke ameteuliwa kuwa katibu mkuu wa Shirikisho la Soka Duniani (FIFA),...

Mwanamume 'adandia' helikopta Bungoma Kenya

By on 12:57:00 PM
Ndege hiyo ilipaa na kuondoka naye Mwanamume mmoja katika mji wa Bungoma, Magharibi mwa Kenya ameshangaza wengi baada ya kudandia helikopta ambayo imepaa na kuondoka naye. Helikopta hiyo...

UN: Rwanda bado inasaidia waasi Burundi

Add caption Rwanda imekana madai kwamba inasaidia kuhujumu serikali Burundi Ripoti ya siri iliyowasilishwa kwa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa inaituhumu Rwanda kwa kuendelea kuwasaidia waasi...

Korea Kaskazini 'inaihami DR Congo'

DRCo      drcngo inatakiwa iarifu UN kuhusu ununuzi wowote wa silaha Ripoti ya siri ya wataalamu wa Umoja wa mataifa ilioonekana a shirika la habari la Reuters inaarifu...

Roma Mkatoliki - Mtoto wa kigogo 2016

downlod...

Monday, May 9, 2016

Malkia wa Pembe' afikishwa kortini Tanzania

By on 12:31:00 PM
Malkia wa Pembe kutoka China Kesi dhidi ya mwanamke mfanyabiashara raia wa China anayetuhumiwa na mashtaka ya kuendeleza mtandaoa wa kihalifu wa ulanguzi wa pembe barani Asia imeahirishwa...

Washtakiwa 21 wafungwa jela maisha Burundi

By on 12:28:00 PM
 Maandamano yalianza Burundi Aprili mwaka jana Mahakama ya rufaa nchini Burundi imewahukumu washtakiwa 21 vifungo vya maisha jela baada ya kuwapata na hatia ya kushiriki jaribio la mapinduzi...

Jumba la ghorofa laporomoka Mombasa

By on 12:17:00 PM
9 Mei 2016  Maafisa wa serikali wamefika eneo hilo Sehemu ya jumba kubwa la kibiashara mjini Mombasa imeporomoka siku chache baada ya jumba la makazi kuporomoka jijini Nairobi...

Magufuli aahidi sukari ya bei ya chini

By on 12:09:00 AM
  Serikali ya Tanzania imeagiza sukari ilikukabiliana na upungufu wa sukari uliopo nchini. Rais wa Tanzania John Pombe Magufuli amesema badala ya kuwapa wafanyabiashara leseni ya kuagiza sukari...

Saturday, May 7, 2016

Majibu ya Mr Blue kwa wanaodhani atapotea baada ya Ndoa

downlod ...

Naibu kamanda wa kundi la mauaji Rwanda akamatwa

Saa moja iliyopita Mshirikishe mwenzako Image copyright Image caption Mpiganaji wa kundi la FDLR Wakuu wa Jamhuri ya Demokrasi ya Congo wanasema wamemkamata naibu kamanda wa kundi la...

DIRA YA DUNIA ALHAMISI 05.05.2016

downlod ...
downlod ...

DIRA YA DUNIA JUMATATU 02.05.2016

dira ya dunia downlod ...