Friday, November 20, 2015

Mbwa ‘shujaa wa Paris’ avuma mtandaoni

Katika vita, huwa kuna watu wanaoibuka mashujaa na kuenziwa na watu na taifa kwa jumla.
Huko Ufaransa, kuna mbwa mmoja wa polisi ambaye amepata umaarufu mkubwa sana na kusifiwa baada yake kufariki kwenye operesheni ya polisi.
Mbwa huyo wa jina Diesel anaweza kuelezwa kuwa ‘afisa wa polisi’ wa kwanza kufa vitani katika operesheni dhidi ya washukiwa walioshambulia Paris Ijumaa.

0 comments: