Idadi ya vijana wanaokataa kwenda shule kwa sababu ya kujishughulisha na uchumaji upakiaji wa matawi yake.
Hata hivyo utafiti katika maeneo yanayokuzwa mumea huu umetambua kuwa
idadi ya vijana wanaokataa kwenda shule kwa sababu ya kujishughulisha
na uchumaji wa Miraa na upakiaji wa matawi yake.
''kutokana na
utashi wa bidhaa hiyo,malipo ya wafanyikazi wanaoishughulikia ni ya juu
mno kwa hivyo inawavutia vijana kuacha masomo alisema daktari huyo.
Daktari Lukoye Atwoli alisema kuwa miraa husababisha walaji wake kuwa na mori na hata wakati mwengine msongo wa mawazo.
Utafiti huu unafwatia ule uliofanywa mwaka uliopita na wataalamu kutoka
chuo kikuu cha Nairobi kwa ushirikiano na chuo kikuu cha Konstanz cha
Germany na kile cha Minnesota, Marekani uliobaini kuwa ulaji wa miraa
unaathiri ubongo wa walaji wake na kusababisha msongo wa
mawazo,mafadhaiko na mahangaiko ya kiakili mbali na matatizo mengine
chungu nzima.
0 comments:
Post a Comment