• mazingira
  • michezo
  • ujasiriamali
  • dira ya dunia
  • siasa
  • waasi

ict master

  • program zote
  • tekinologia
  • mazingira
  • elim
  • boko haram
  • habari
    • alshababu
    • kimataifa
    • kitaifa
    • burundi
    • rwanda
    • alshababu
  • video

Wednesday, May 10, 2017

By Suxiya Chinese language center on 12:50:00 PM
Rais wa Marekani Donald Trump amesema karibuni wabunge wa vyama vya Democratic na Republican watamshukuru kwa kumfuta kazi mkuu wa FBI James Comey.
Akiandika kwenye Twitter, Bw Trump ametetea uamuzi wake ulioshangaza wengi wa kumfuta kazi mkuu huyo wa Shirika la Uchunguzi wa Jinai Marekani (FBI).
Rais huyo alimfuta kazi kutokana na jinsi alivyoshughulikia uchukuzi wa barua pepe za aliyekuwa mpinzani wa Bw Trump Hillary Clinton.
Bw Comey alikuwa anaongoza uchunguzi wa FBI kuhusu uhusiano kati ya maafisa wa kampeni wa Trump na Urusi.
Kufutwa kazi kwake kumewashangaza wengi Washington na maafisa wa chama cha Democratic pia wameeleza kushangazwa na uamuzi huo.
Kufutwa kwake "kumeibua maswali kuhusu iwapo ikulu ya White House inaingilia wazi uchunguzi wa jinai," alisema Adam Schiff, ambaye ni mwanachama wa ngazi ya juu zaidi kutoka chama cha Democratic katika kamati ya bunge kuhusu ujasusi.
Lakini kiongozi huyo ametetea uamuzi wake Jumatano asubuhi, saa chache kabla ya kukutana na waziri wa mambo ya nje wa Urusi Sergei Lavrov - mkutano wa kwanza kati ya Trump na maafisa wa Urusi tangu achukue hatamu Januari.
Newer Post Older Post

0 comments:

Post a Comment

Subscribe to: Post Comments (Atom)

Popular Posts

  • uundaji wa roboti
    Roboti ni mashine inayotekeleza shughuli peke yake bila kuendeshwa na binadamu . Kuna tofauti kati ya nchi na nchi kuhusu kiwango na ugumu...
  • Video ya Boko Haram yaonesha wasichana wa Chibok
    Wanachama wa vuguvugu la Bring Back Our Girls waliandamana mjini L...
  • Tanzania: Simba yachinjwa kombe la Shirikisho
    ...
  • Well come in talanta group olasity Kati arusha Tanzania we produce good instruments for water management like ports. Tank ect
                                                         tok kwa maelezo piga sm 0759894855
  • Watano kuwania tuzo ya mwanasoka bora Afrika 2015
    Wagombea watano wa tuzo ya BBC kwa mwanasoka bora wa mwaka 2015 wametangazwa kwenye hafla maalum iliyoandaliwa mjini Johannesburg, Afri...
  • The best hidden features in Windows 10's major update
    Share on Facebook (2,710) Tweet Share Pin Microso...
  • UMUHIMU WA KUTUNZA KUMBUKUMBU ZA BIASHAURA
        Tunzaji wa kumbukumbu za biashara yako ni muhimu sana kwani mali bila daftari basi hupotea bila habari ...
  • aina za robot
    Leo robots ni kutumika katika kila uga: sekta ya viwanda, jeshi, nafasi ya utafutaji, usafirishaji na matumizi ya tiba. Ni kwa saba...
  • FIFA yatishia kuipiga marufuku Nigeria
    Shirikisho la kandanda duniani limetishia kuipiga marufuku Nigeria kutoka kwenye mashindano yeyote ya kimataifa iwapo haitamrejesha afi...
  • Jino kubwa la nyangumi lapatikana Australia
    Jino hilo lilipatikana mwezi Februari Jino kubwa la nyangumi limepatikana ufukweni Australia, na kuwa thibitisho la ...

Follow Us on Facebook

Blog Archive

  • ▼  2017 (3)
    • ▼  May (3)
      • Wakristo 23 wa kanisa la Coptic wauawa wakienda ka...
      • Trump azuru Israel chini ya ulinzi mkali
      • Rais wa Marekani Donald Trump amesema karibuni...
  • ►  2016 (86)
    • ►  June (2)
    • ►  May (26)
    • ►  April (50)
    • ►  March (8)
  • ►  2015 (22)
    • ►  December (8)
    • ►  November (14)

Followers

 
  • Followers

  • Total Pageviews

    Sparkline
  • Subscribe

  • Labels

    • alishababu
    • bokoharam
    • burudani
    • burundi
    • dira ya dunia
    • elimu
    • HABARI
    • islamik state
    • kimataifa
    • kitaifa
    • MATUKIO
    • mazingira
    • MICHEZO
    • program zote
    • roboti
    • ruanda
    • SIASA
    • TEKNOLOJIA
    • ujasiriamali
    • VIDEO
    • waasi

Copyright © 2012 News Magazine Theme. Designed by Templateism